Leo tuna furaha kubwa kuzindua mradi wa Uwezeshaji Wanawake Kupitia Riadha nchini Sardinia (Italia). Tukiwa pamoja na viongozi wa Banda la Mabingwa, Asasi ya Mine Vaganti, Shirika la Kijamii la Neema, BTG.Philippines, Go Sports Nepali na Mtandao wa Vijana wa Kubadili Tamaduni Tanzania, tumekusanyika Italia kukutana kwa pamoja kwa mara
Arunima Dahal: From Nepal to Italy!
Katika kikao cha uzinduzi wa mradi wa “Uwezeshaji Wanawake Kupitia Riadha” nchini Sardinia (Italia), Árü Ñeéma Dàhãl amepata nafasi ya kipekee ya kukutana na viongozi wa klabu bingwa ya mpira iliyopo Sassari – FC Sassari Torres Femminile na kuweza kushiriki mchezo mmoja na timu hiyo ya wanawake! Hili pia